Recent

(AUDIO) SALLAM SK MANAGER WA DIAMOND PLATNUMZ AWEKA WAZI JUU YA UJIO WA RICH MAVOKO KATIKA LABEL YA WCB

Sallam alizungumza hayo alipokuwa akihojiwa na mtangazaji wa Kings FM ya Njombekatika kipindi cha The premier. Sallam aliweka wazi kwamba wamewahi kuwa na mazungumzo na msanii Rich Mavoko, lakini bado hawajafikia muafaka. endapo watakubaliana ataweka wazi katika vyombo vya Habari.
Aliendelea kusisitiza kwamba Mavoko nimsanii mkubwa na mkali kwa sababu amesha fanya nyimbo kali na video kali zaidi ya moja na ambazo zilipokelewa vizuri na mashabiki wa muziki, lwahiyo yeye binafsi kuna maslahi ambayo anayahitaji kama msanii na wapo katika makubaliano.


Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment