Recent

(VIDEO) MCHEKESHAJI STAN BAKORA KAIFANYIA VIDEO NYIMBO YA NATAFUTA KIKI YA RAYMOND (Rayvanny) WA WCB! NIMEKUSOGEZEA HAPA!

Msanii wa vichekesho anaejulikana kwa jina la Stan Bakora ameamua kuifanyia video nyimbo ya msanii Raymond kutoka label ya WCB wasafi ambayo inasimamiwa na mwanamuziki Diamond Platnumz.
Nyimbo hiyo imeachiwa takriban wiki mbili zilizopita. Msanii Stan Bakora hii si mara yake ya kwanza kufanya hivyo, ilitokea hivyo pia kwenye nyimbo ya SIZONJE ya Mrisho Mpoto.
Itazame hapa hiyo video ya NATAFUTA KIKI

Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment