Recent

RICH MAVOKO; SIKUWAHI KUFIKIRI KAMA NAWEZA KUWA CHINI YA WCB! (+AUDIO)

Msanii Rich Mavoko ambaye ametambulishwa leo rasmi chini ya label ya WCB inayosimamiwa na msanii mwenzie Diamond Platnumz.
Amefunguka leo alipohojiwa na Perfect Crispin wa Clouds FM katika kipindi cha XXL segment ya 255.

Akathibitisha hilo kwa kudai kwamba WCB ni label changaambyo haina hata miaka 3 na yeye ni msanii wa muda mrefu. Kwakuwa imetokea wasanii kufanya kazi pamoja ni kitu kizuri nna ndio maana akaamua kufanya maamuzi hayo.
Msikilize hapa
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment