Recent

VANESSA MDEE; KUNA WASANII WANAHITAJI KIKI KWASABABU HAWANA SANAA!

Msanii wa kike wa Bongo Fleva +Vanessa Mdee  amezungumza kwamba kuna aina ya wasanii wanatumia kiki ili kusogeza mbele sanaa zao kwa sababu sanaa zao hazina uhalisia.
Mwanadada huyo alizungumza hayo wakati alipoalikwa katika studio zaTZA za Millard hayo. Aliongeza kwa kuwataja wasanii wenzie ambao walimpigia simu baada ya kusikia kwamba ana migogoro na msanii mwenzie Shilole.
Wasanii hao walimpigia sim na kumtaka amalize matatizo hayo na msanii mwenzie huyo.
TAZAMA VIDEO HAPA CHINI

Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment